Dr. Joshua Grubbs (PhD) mtaalamu wa saikolojia alifanya utafiti katika chuo kikuu cha Western Reserve kutaka kujua…….sababu mojawapo inayochangia watu wasifisafinikiwe kutimiza Malengo waliyojiwekea.Moja ya sababu kubwa… Read more “Kinacho sababisha watu wasitimize malengo.”
Month: August 2021
Kuishi maono yako.
Moja ya mahangaiko ya watu wengi sana katika maisha ni kuyajua na kuyaishi maono yao ili kuleta maana ya kuishi na utosherevu wa moyo katika kuishi. Maono… Read more “Kuishi maono yako.”
UBUNIFU WENYE TIJA KITANDANI
Kama anakupenda atatafuta muda na wewe katikati ya ubize wake. Ukiona tofauti na hili, basi tilia shaka thamani yako kwake.Njia mojawapo nzuri ya kumpenda mpenzi wako ni… Read more “UBUNIFU WENYE TIJA KITANDANI”
JINSI YA KUPENDA MWANAMKE ALIYEPITIA MACHUNGU YA MAPENZI.
1. Kuwa na uwezo wa kumsikiliza,usi muhukumu,maana amepitia machungu katika mahusiano ya mwanzo. 2. Kuwa makini na maneno makali anayozungumza,mfunzo kuzungumza maneno yanayopendeza sio ya kuhukumu na… Read more “JINSI YA KUPENDA MWANAMKE ALIYEPITIA MACHUNGU YA MAPENZI.”
MAMBO AMBAYO WANAWAKE WANAFAA KUFAHAMU KUHUSU WANAUME.
1. Mwanaume anayekupenda anatumia uwezo wowote kuonyesha upendo wako na atakusaidia ufikie ufanisi maishani. 2. Kwa kawaida wanaume wanapenda kuwa katika mikusanyiko ya wanawake wanaowapa mitihani,wanawake wanaojitambua… Read more “MAMBO AMBAYO WANAWAKE WANAFAA KUFAHAMU KUHUSU WANAUME.”
MAMBO AMBAYO KICHUNA CHAKO KUPATA ANAPOREJEA NYUMBANI KUTOKA KAZINI.
1. Makaribisho yanayopendeza. 2. Wewe kutaka kujua siku yake imekua vipi. 3. Mazingara yeenye amani na mpenzi ambaye anampa amani. 4. Tabasamu lako na kicheko,kuwa na wakati… Read more “MAMBO AMBAYO KICHUNA CHAKO KUPATA ANAPOREJEA NYUMBANI KUTOKA KAZINI.”
FAHAMU UMUHIMU KUHUSU USINGIZI,TENDO LA NDOA NA MAPENZI.
1. Unapoenda kulala mwanzo usafi muhimu oga.Tendo la kumegana linahitaji usafi,usafi unavutia mpenzi wako kumegana nawe. 2. Mnapolala pamoja ni sehemu ya kudhihirisha unamjali mwenzako,mwenzako anajihisi anakubalika… Read more “FAHAMU UMUHIMU KUHUSU USINGIZI,TENDO LA NDOA NA MAPENZI.”
MAMBO MADOGO YA KUFANYA KUONYESHA UPENDO WAKO:
1.Msaidie kutoa sindiria lake anaporejea nyumbani kutoka kazini,sio ishara kuomba kumegana hapana,unamsaidia tuu maana amechoka na pilkapilka za kutwa. 2.Unamsubiri mezani katika hatua ya kula chajio pamoja.… Read more “MAMBO MADOGO YA KUFANYA KUONYESHA UPENDO WAKO:”
UMUHIMU WA KUOA/KUOLEWA.
1.Ushirikiano unaodumu hadi uzeeni watu wawili wanapoamua kupendana hadi kifo. 2. Unakua na mwenzako mnashirikiana naye maishani,unaweza shangaa unajiona ukiwa pekee yako mambo yanakwenda,hadi unapopata mpenzi ambaye… Read more “UMUHIMU WA KUOA/KUOLEWA.”
UKIZINGATIA HAYA MAMBO 12 NDOA YENYU ITANAWIRI.
Je watu wawili wanaweza vipi kutembea pamoja,pasipo makubaliano?Ukweli wa mambo ndoa nyingi ukumbwa na migogoro kutokana na kutoelewana.Migogoro hutokana na kutokubaliana baina ya wapenzi kushindwa kukabili changamoto… Read more “UKIZINGATIA HAYA MAMBO 12 NDOA YENYU ITANAWIRI.”