1.Wote wawili wanahitaji heshima.Heshima sio ya mwanaume pekee yake. 2. Wanandoa wote wanahitaji kumegana.Swala ya kujamiana si la mtu mmoja,ni swala ya wawili mke na mme,likifanyika ndani… Read more “WANAUME NA WANAWAKE WANAHITAJI MAMBO SAWIA.”
Month: July 2021
Kuna mambo 10 hapa unaweza fanya kuhakikisha unakuwa na mawazo chanya siku zote:.
1- Kuwa na watu sahihi wanaokuzunguka 2- Kubali kosa ukifanya na badilika 3- wapongeze wengine wakifanya vizuri. 4- Jijali/ Jipende.5- Shukuru kwa yale uliyonayo 6- Jione wewe… Read more “Kuna mambo 10 hapa unaweza fanya kuhakikisha unakuwa na mawazo chanya siku zote:.”
Cantona Joseph
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Cantona Joseph,he is a Communication Practitioner, with experience of over 22 years in Media Industry, He is the Founder &… Read more “Cantona Joseph”
UBUNIFU WENYE TIJA KITANDANI.
Kama anakupenda atatafuta muda na wewe katikati ya ubize wake. Ukiona tofauti na hili, basi tilia shaka thamani yako kwake.Njia mojawapo nzuri ya kumpenda mpenzi wako ni… Read more “UBUNIFU WENYE TIJA KITANDANI.”
JINSI YA KUPENDA MWANAMKE ALIYEPITIA MACHUNGU YA MAPENZI.
1. Kuwa na uwezo wa kumsikiliza,usi muhukumu,maana amepitia machungu katika mahusiano ya mwanzo. 2. Kuwa makini na maneno makali anayozungumza,mfunzo kuzungumza maneno yanayopendeza sio ya kuhukumu na… Read more “JINSI YA KUPENDA MWANAMKE ALIYEPITIA MACHUNGU YA MAPENZI.”
MAMBO AMBAYO WANAWAKE WANAFAA KUFAHAMU KUHUSU WANAUME.
1. Mwanaume anayekupenda anatumia uwezo wowote kuonyesha upendo wako na atakusaidia ufikie ufanisi maishani. 2. Kwa kawaida wanaume wanapenda kuwa katika mikusanyiko ya wanawake wanaowapa mitihani,wanawake wanaojitambua… Read more “MAMBO AMBAYO WANAWAKE WANAFAA KUFAHAMU KUHUSU WANAUME.”
MAMBO AMBAYO KICHUNA CHAKO KUPATA ANAPOREJEA NYUMBANI KUTOKA KAZINI.
1. Makaribisho yanayopendeza. 2. Wewe kutaka kujua siku yake imekua vipi. 3. Mazingara yeenye amani na mpenzi ambaye anampa amani. 4. Tabasamu lako na kicheko,kuwa na wakati… Read more “MAMBO AMBAYO KICHUNA CHAKO KUPATA ANAPOREJEA NYUMBANI KUTOKA KAZINI.”