Skip to content
cantonadigital

cantonadigital

Month: May 2020

Unazungukwa na watu wasiotaka uongezeke.

Katika maisha ya kila siku tunazungukwa na watu wasiotamani kuona ukiongezeka katika eneo lolote kimaisha Iwe ni kiuchumi, kielimu,kibiashara,kihuduma na nyanja zote za kimaisha. Lazima ufahamu kuwa… Read more “Unazungukwa na watu wasiotaka uongezeke.”

May 10, 2020 by CantonaDigital

Usiogope

Katika maisha watu waliofanikiwa walijifunza kutokuogopa jambo lolote linalosimama mbele yao kuwazuia kufika kwenye ndoto zao Na watu wengi tumeshindwa kufika kwenye ndoto zetu kwasababu ya hofu… Read more “Usiogope”

May 10, 2020 by CantonaDigital

Maadui wako hawajui una Mungu mtetezi.

Kati ya vitu ambavyo maadui zako hawajui nikwamba unae Mungu asiyelala, unaye Mungu anaekuwazia mema Na pia hawajui ukuu na uaminifu wa Mungu uliyenaye,ndio maana ni rahisi… Read more “Maadui wako hawajui una Mungu mtetezi.”

May 10, 2020 by CantonaDigital

usikate tamaa.

Kuna mambo wamejaribu kufanya lakini hayaonekani kuzaa matunda,na kuna hali wanazipitia kiuchumi,kifamilia, kazini, na hawaamini tena Kama wanaweza kuvuka Najua umezungukwa na watu wengi wanaokucheka na kukukatisha… Read more “usikate tamaa.”

May 10, 2020 by CantonaDigital

Heri ufe ukijaribu.

Ni bora ufe ukijaribu kuliko kukata tamaa katika ndoto zako,mara ngapi umekuwa ukikata tamaa katika maisha yako? Ni vitu vingapi umevikatia tamaa kuvifanya? Kwasababu tu ya magumu… Read more “Heri ufe ukijaribu.”

May 10, 2020 by CantonaDigital

Siri ya mafanikio ni kuamini kuwa unaweza

Unapodhani au kuamini kuwa huwezi kufanya jambo fulani basi mfumo wako wa mwili wako kibaiolojia huanza kudhihirisha kile unachodhani hukiwezi Kamwe huwezi kufanya kile unachofikiri huwezi kufanya… Read more “Siri ya mafanikio ni kuamini kuwa unaweza”

May 10, 2020 by CantonaDigital

Uwezo wa Mungu ni mkuu.

Daudi hakuhitaji kujua uwezo wa Goliath ili kumkabili ila alitiwa nguvu baada ya kujua uwezo wa Mungu aliyenaye Kwanini kila siku unashindwa?Kwanini kila siku wewe ni mtu… Read more “Uwezo wa Mungu ni mkuu.”

May 10, 2020 by CantonaDigital

Mambo hayaendi,

Najua unapita mahali pagumu kiuchumi,kwenye mahusiano, kwenye ndoa ,umefika mahali mambo hayaendi, maisha hayana maana teena Mahusiano hayana maana,ndoa haina maana, kazi haina maana, umejikuta muda woote… Read more “Mambo hayaendi,”

May 10, 2020 by CantonaDigital

Ee Israeli, asema hivi, Usiogope

Isaya 43:1:2Lakini sasa, BWANA aliyekuhuluku, Ee Yakobo, yeye aliyekuumba, Ee Israeli, asema hivi, Usiogope, maana nimekukomboa; nimekuita kwa jina lako, wewe u wangu.Upitapo katika maji mengi nitakuwa… Read more “Ee Israeli, asema hivi, Usiogope”

May 10, 2020 by CantonaDigital

Majira ya Mungu ndio bora.

Majira ya Mungu yakifika hakuna kinachoweza kumzuia maana yeye hafungwi na muda Ninakutia moyo usiangalie muda uliokaa kwenye hilo jaribu ,wala usitazame ukubwa DA hilo jaribu Majira… Read more “Majira ya Mungu ndio bora.”

May 10, 2020 by CantonaDigital

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Blog at WordPress.com.
cantonadigital
Blog at WordPress.com.
Privacy & Cookies: This site uses cookies. By continuing to use this website, you agree to their use.
To find out more, including how to control cookies, see here: Cookie Policy
  • Subscribe Subscribed
    • cantonadigital
    • Join 31 other subscribers
    • Already have a WordPress.com account? Log in now.
    • cantonadigital
    • Subscribe Subscribed
    • Sign up
    • Log in
    • Report this content
    • View site in Reader
    • Manage subscriptions
    • Collapse this bar
 

Loading Comments...