➡Anayekukimbia wakati wa kupanda,atakuja kukutia moyo wakati wa mavuno.➡Anayekudharau wakati wa vita,ndiye atakayekushangilia wakati wa kushinda.➡Anayekimbia tatizo lako leo,kesho likimpata lake atakuja kwako umpe experience! MUNGU YUPO,ANAYEGEUZA… Read more “Una marafiki wa aina ipi.”
Month: May 2020
Kiburi
Ni silaha kubwa sana ambayo adui anatumia kuangusha hata majitu ya Imani. Mbaya zaidi dhambi ya kiburi au anguko la kiburi linapokunyemelea, kila Mtu ataona isipokuwa wewe… Read more “Kiburi”
Nani atakaye kaa katika hema la Bwana.
Zaburi:15.1Bwana, ni nani atakayekaa Katika hema yako? Ni nani atakayefanya maskani yake Katika kilima chako kitakatifu?Zaburi:15.2Ni mtu aendaye kwa ukamilifu, Na kutenda haki. Asemaye kweli kwa moyo… Read more “Nani atakaye kaa katika hema la Bwana.”
Usimwige mtu mwingine.Una kitu cha utofauti.
Ukitaka Mungu akutumie kwa viwango tembea katika uhalisia wako jinsi ulivyo. Usiige maisha ya wengine na kuyafanya kuwa yako. Naweza kuyapenda mafundisho ya Mwakasege lakini siwezi kuwa… Read more “Usimwige mtu mwingine.Una kitu cha utofauti.”
Ukiwa umekosa kubali kukosolewa
Biblia inaelezea kwamba, Kuna wakati Mtume Paulo alimkemea Mtume Petro kwa sababu ya unafiki wa kuwatenga watu wa mataifa pale alipowaona wayahudi (Wagalatia 2:11-21). Petro alikuwa ni… Read more “Ukiwa umekosa kubali kukosolewa”
Watendeeni watu vile mnataka mtendewe.
“Basi yo yote myatakayo mtendewe na watu, nanyi watendeeni vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo torati na manabii.”(Mathayo 7:12) Katika Morning devotion time nilipokuwa nasoma Biblia nikarejeshwa kwenye… Read more “Watendeeni watu vile mnataka mtendewe.”
Mateso yako ni mengi,Mungu anayakomesha.
Sijui umekuwa na mateso kwenye eneo gani, inawezekana umekuwa na mateso kwenye uchumi,ndoa,kazini au mateso ya kiafya. Bwana ameniambia nikwambie anayakomesha hayo mateso Nahumu 1:9Mnawaza nini juu… Read more “Mateso yako ni mengi,Mungu anayakomesha.”
Bwana akutoe katika nia ya watesi wako.
Bwana akutoe katika nia ya watesi wako Wale wanaokuwazia mabaya, wanaosubiri kuanguka kwako,wanaosubiri aibu yako nimekuombea nia zao na kila mipango mibaya juu yako haitasimama Zaburi 27:12… Read more “Bwana akutoe katika nia ya watesi wako.”
Usipoteze ladha katika maisha.
Siku ya leo nasikia kuwatia moyo na kuwaombea watu ambao wanasikia kukata tamaa, watu ambao wamefika mahali maisha yao yamepoteza radha Watu ambao ndoa,kazi, na kila kitu… Read more “Usipoteze ladha katika maisha.”
Usikate tamaa
Wambie wasikate tamaa nipo pamoja nao katika mazingira yote wanayoyapitia sijawaacha Na Bwana akaniambia wambie katikati ya upinzani na vita nitawalinda hawatadhurika hata watakapojikwaa hawatadhurika maana nipo… Read more “Usikate tamaa”