Skip to content
cantonadigital

cantonadigital

Month: May 2020

USIDHARAU MAMBO MADOGO

Ninakumbuka maisha yangu ya safari ya utafutaji nilipitia changamoto nyingi kipindi hicho nilikuwa natafuta pakulala mjini,baada ya kutoka vijijini ni safari ndefu,Mungu alinipa ndugu wengi chuoni nilipokua… Read more “USIDHARAU MAMBO MADOGO”

May 24, 2020 by CantonaDigital

Usikate tamaa

Naongea na mtu ambae kibiashara umeanguka,kiuchumi umeanguka, kimasomo umeanguka, ki mahusiano umeanguka, na kihuduma umeanguka Na inawezekana kabisa umezungukwa na watu wanaokucheka na kukudharau maana wanafikili mwisho… Read more “Usikate tamaa”

May 22, 2020 by CantonaDigital

Katikati ya vita na upinzani Bwana atatulinda

Na Bwana akaniambia wambie katikati ya upinzani na vita nitawalinda hawatadhurika hata watakapojikwaa hawatadhurika maana nipo pamoja nao Ndipo nikasikia ndani yangu msukumo wa kusema na wewe… Read more “Katikati ya vita na upinzani Bwana atatulinda”

May 22, 2020 by CantonaDigital

Tunazungukwa na watu wasiotamani kuona ukiongezeka

Katika maisha ya kila siku tunazungukwa na watu wasiotamani kuona ukiongezeka katika eneo lolote kimaisha Iwe ni kiuchumi, kielimu,kibiashara,kihuduma na nyanja zote za kimaisha. Lazima ufahamu kuwa… Read more “Tunazungukwa na watu wasiotamani kuona ukiongezeka”

May 22, 2020 by CantonaDigital

Usiogope

Katika maisha watu waliofanikiwa walijifunza kutokuogopa jambo lolote linalosimama mbele yao kuwazuia kufika kwenye ndoto zao Na watu wengi tumeshindwa kufika kwenye ndoto zetu kwasababu ya hofu… Read more “Usiogope”

May 22, 2020 by CantonaDigital

Maaadui wako wameshindwa.

Zaburi 20:8 Wao wameinama na kuanguka,Bali sisi tumeinuka na kusimama. Waliosimama kinyume na biashara yako,kinyume na kazi yako,kinyume na masomo yako,kinyume na huduma yako ni maombi yangu… Read more “Maaadui wako wameshindwa.”

May 22, 2020 by CantonaDigital

Una Mungu asiye lala

Kati ya vitu ambavyo maadui zako hawajui nikwamba unae Mungu asiyelala, unaye Mungu anaekuwazia mema Na pia hawajui ukuu na uaminifu wa Mungu uliyenaye,ndio maana ni rahisi… Read more “Una Mungu asiye lala”

May 22, 2020 by CantonaDigital

Je unalipitia jambo lipi?

kuna mambo umejaribu kufanya lakini hayaonekani kuzaa matunda,na kuna hali wanazipitia kiuchumi,kifamilia, kazini, na hawaamini tena Kama wanaweza kuvuka Najua umezungukwa na watu wengi wanaokucheka na kukukatisha… Read more “Je unalipitia jambo lipi?”

May 22, 2020 by CantonaDigital

Upo katika kipindi kipi maishani?

Kuna kipindi unaweza kukipitia kwenye maisha haya,kikawa ni kipindi cha machozi na kilio na hasara katika kipindi maisha yanaweza kukosa maana kabisa Nikiwa katika kuomba Bwana akaniambia… Read more “Upo katika kipindi kipi maishani?”

May 22, 2020 by CantonaDigital

Wewe una uwezo mkubwa.

Kufeli kwenye maisha haina maana kwamba huwezi, au kufeli mtihani haimanishi kwamba umefeli maisha jifunze kutokukata tamaa. Watu wengi wameshindwa kwenye maisha sio kwasababu hawawezi au sio… Read more “Wewe una uwezo mkubwa.”

May 22, 2020 by CantonaDigital

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Blog at WordPress.com.
cantonadigital
Blog at WordPress.com.
Privacy & Cookies: This site uses cookies. By continuing to use this website, you agree to their use.
To find out more, including how to control cookies, see here: Cookie Policy
  • Subscribe Subscribed
    • cantonadigital
    • Join 31 other subscribers
    • Already have a WordPress.com account? Log in now.
    • cantonadigital
    • Subscribe Subscribed
    • Sign up
    • Log in
    • Report this content
    • View site in Reader
    • Manage subscriptions
    • Collapse this bar
 

Loading Comments...