Mungu akuinulie yonathani wako 1samweli 18:1:4

Ikawa Daudi alipokwisha kusema na Sauli, roho ya Yonathani, ikaambatana na roho ya Daudi, Yonathani akampenda kama roho yake mwenyewe.


Sauli akamtwaa siku ile, wala hakumwacha arudi tena nyumbani kwa baba yake.Nao Yonathani na Daudi wakaahidiana, kwa kuwa alimpenda kama roho yake mwenyewe.


Ndipo Yonathani akalivua joho alilokuwa amelivaa, akampa Daudi, na mavazi yake, hata na upanga wake pia, na upinde wake, na mshipi wake.

Kama unaamini kwamba Mungu anakuinulia Yonathani wako comment “Bwana niinuilie Yinathani wangu na popote alipo nikutanishe nae” na itakuwa katika jina la Yesu


Discover more from cantonadigital

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Leave a comment