Sijui umekuwa na mateso kwenye eneo gani, inawezekana umekuwa na mateso kwenye uchumi,ndoa,kazini au mateso ya kiafya. Bwana ameniambia nikwambie anayakomesha hayo mateso
Nahumu 1:9
Mnawaza nini juu ya BWANA? Yeye atakomesha kabisa; mateso hayatainuka mara ya pili.
Umeteseka mwaka Jana, mwaka huu ukamuone Bwana Maana ni mwaka uliokubaliwa.
Discover more from cantonadigital
Subscribe to get the latest posts sent to your email.