Bwana akutoe katika nia ya watesi wako
Wale wanaokuwazia mabaya, wanaosubiri kuanguka kwako,wanaosubiri aibu yako nimekuombea nia zao na kila mipango mibaya juu yako haitasimama
Zaburi 27:12 Usinitie katika nia ya watesi wangu;Maana mashahidi wa uongo wameniondokea,Nao watoao jeuri kama pumzi.
Ninajua hao watesi kwasababu ya nia yao wanainua maneno ya uongo juu yako ili uaibike na kuanguka
Lakini nia yao haitafanikiwa nimekuombea Bwana akutoe katika nia ya watesi wako katika jina la Yesu
Discover more from cantonadigital
Subscribe to get the latest posts sent to your email.