Ni muda mrefu sana kusoma lakini ni muhimu kwetu kujua kuwa kile kinachosema BIBLIA kinatokea sasa,! Unyakuo utafanyika wakati wowote kutoka sasa .. Kila kitu kinachozuia unyakuo… Read more “Endelea kumtumainia Mungu.”
Month: April 2020
Daudi akakwea sawasawa na neno la Gadi.
“Siku hiyo Gadi akamwendea Daudi, akamwambia, Haya! Kwea wewe, ukamwinulie Bwana madhabahu penye kiwanja cha Arauna, Myebusi. Basi Daudi akakwea sawasawa na neno la Gadi, kama Bwana… Read more “Daudi akakwea sawasawa na neno la Gadi.”
Watu wa ninawi walimsadiki Mungu.
Biblia Takatifu. Yona 3:5-8[5]Basi watu wa Ninawi wakamsadiki Mungu; wakatangaza kufunga, wakajivika nguo za magunia, tangu yeye aliye mkubwa hata aliye mdogo.[6]Habari ikamfikia mfalme wa Ninawi, naye… Read more “Watu wa ninawi walimsadiki Mungu.”
We Binti sayuni piga kelele!!!
1 Ole wake yeye aliyeasi na kutiwa unajisi, mji wa udhalimu!2 Hakuitii sauti; hakukubali kurudiwa; hakumwamini BWANA; hakumkaribia Mungu wake.3 Wakuu wake walio ndani yake ni simba… Read more “We Binti sayuni piga kelele!!!”
Siku Njema.
Kongowea mswahili,Ni jina alituzwa baada ya kushinda tuzo shuleni katika simulizi ya Siku njema.Maelezo ya mwanzo mwandishi anatumia kwenye maelezo Msanifu Kombo, katika kitabu siku njema,Kongowea anazaliwa… Read more “Siku Njema.”
Maisha ni mshuma uso mkesha.
Kifo kweli hakina huruma. Ajali haina kinga, katikati ya giza totoro,unatuziba na kutupa siku mbaya leo.Nachukua fursa hii kwa masikitiko makubwa kunakili haya,ni swala ambalo limenipata katika… Read more “Maisha ni mshuma uso mkesha.”
WANAOMWABUDU MUNGU KIUNABI MPO?YANI PROPHETIC WORSHIPER.
Nakusalimu mpendwa mwana wa Mungu ktk jina la Yesu. Namheshimu sana mkristo anayejitambua. Najua tunaishi kwenye nyakati ambazo watumishi wengi wanataka waonekane kuwa ni watumishi. Tena wanataka… Read more “WANAOMWABUDU MUNGU KIUNABI MPO?YANI PROPHETIC WORSHIPER.”
Unapomkaribia Mungu,Naye anawakaribia!
Yakobo 4 : 7-87 Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia. 8 Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu,… Read more “Unapomkaribia Mungu,Naye anawakaribia!”
Watu wanakutazama na kukutathmini kulingana na wao walivyo
Mungu anajua faida ya kutokutupa vitu tunavyovitamani, kwa sababu vinaweza kuwa NA hasara ya muda mrefu na maumivu makali sana. Je! Utachagua kipi kati ya kupata na… Read more “Watu wanakutazama na kukutathmini kulingana na wao walivyo”