Ni maombi yangu usikiapo ingiza kwenye matendo ili unufaike na haya maarifa ;maana imani ispokuwa na matendo imekufa nafsini mwake.Jambo la kwanza.∆MAWAZO MABAYA YANAYOTOKA MOYONI MWAKO NA… Read more “Mambo manne yanaweza kuharibu mambo yako iwapo hautajiombea ipasavyo.”
Month: April 2020
JIPE MOYO MKUU HATA HILO LITAPITA
Yesu Kristo apewe sifa!Ninawasalimu kwa Jina la Yesu Kristo!Wateule, ✒ Usiku wa Leo nikiwa kwenye maombi nimesikia sauti ikiniambia jipe moyo mkuu hata hili litapita, ✒ Nikasikia sauti ikiniambia… Read more “JIPE MOYO MKUU HATA HILO LITAPITA”
maisha yako yoote yamefunikwa na changamoto na matatizo
Kuna wakati unaweza kufikili na kuamini kuwa wewe uliumbiwa matatizo tu, maana maisha yako yoote yamefunikwa na changamoto na matatizo Niko hapa kukwambia kila lenye mwanzo huwa… Read more “maisha yako yoote yamefunikwa na changamoto na matatizo”
Kuna watu tunapita mahari pagumu kutokana na madhara ya kina Hamani
Na inawezekana uliomba Mungu akamuondoa Hamani kwenye maisha yako, lakini unashangaa mbona bado hali ni ileile? Ni swali ambalo lilinitesa miaka kadhaa, maana niliomba Madui wakaondolewa lakini… Read more “Kuna watu tunapita mahari pagumu kutokana na madhara ya kina Hamani”
Ujumbe wetu kwako katika msimu huwa pasaka 2020
Luka 23:34 Yesu akasema, Baba, uwasamehe kwa kuwa hawajui watendalo. Wakagawa mavazi yake, wakipiga kura. Niliposoma nakutafakari mstari huo nielewa mambo mengi 1. Lengo la hao maadui… Read more “Ujumbe wetu kwako katika msimu huwa pasaka 2020”
Katikati ya magumu na mapito unayoyapitia
Katikati ya magumu na mapito unayoyapitia,katikati ya kuumizwa na kuvunjika moyo, Mungu akuinulie Kalebu atakaye utuliza moyo wako katikati ya dhoruba kali na vilio. Kalebu si tukwamba… Read more “Katikati ya magumu na mapito unayoyapitia”
Nikasikia sauti ikiniambia
Bwana Yesu asifiwe mpendwa wangu nilipokuwa katika kutafakari na maombi nikaona watu walio katika bonde la machozi na vilio na hata alipotokea wa kuwafariji walikataa kufarijika Nikasikia… Read more “Nikasikia sauti ikiniambia”
Zaburi 23:4
Nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti,Sitaogopa mabaya;Kwa maana Wewe upo pamoja nami,Gongo lako na fimbo yako vyanifariji. Moja kati ya jambo unalohitaji kulijua ni hili… Read more “Zaburi 23:4”
Mungu hajakuacha
Kuna kipindi katika maisha unaweza kukipitia ukaona kama vile Mungu uliyemtegemea maisha yako yote amekuacha Kuna msimu unaweza kupita kwenye maisha yako kila kitu kiwa hakina radha… Read more “Mungu hajakuacha”
NENO LA FARAJA
⏺Kuna wakati katika maisha,yoote uliyoyategemea hayaonekani kama yatatokea tena na woote uliowategemea wamekukimbia na kukuacha ⏺Katika kipindi cha namna hii unaweza kuwa na kitanda kizuri lakini kisikupe… Read more “NENO LA FARAJA”