Watu wanakutazama na kukutathmini kulingana na wao walivyo, ndio maana si ajabu wakakuhusisha na mambo ya kushindwa sio kwa sababu umeshindwa ila ni kwa sababu hawajawahi kushinda na hawaamini kuna mtu anaweza kushinda.
Ila Mungu anakutazama vile ulivyo, ndio maana anataka ushinde zaidi ya vile unavyoamini una nguvu ya kushinda. MTAZAMO WA MUNGU KUHUSU WEWE NI KUKUPATIA AMANI NA ANAKUWAZIA MEMA. Acha kuumizwa na mtazamo wa watu juu yako.
Discover more from cantonadigital
Subscribe to get the latest posts sent to your email.