The Bible references first fruits or first things or devoted things no less than 32 times…“Honor the Lord with your substance, with the first fruits of all… Read more “Your declarations are a weapon against the enemy.”
Month: January 2020
Usikate tamaa unapokumbana na changamoto.
PITIA HII ILI UPONE❎Sio mwaka wa kulazimisha kupendwa❎Sio mwaka wa kulilia mapenzi❎Sio mwaka wa kumuabudu mtu❎Sio mwaka wa kupotezeana muda❎Sio mwaka wa kubembelezana❎Sio mwaka wa kuvumilia ujinga❎Sio… Read more “Usikate tamaa unapokumbana na changamoto.”
Unajifunza nini na ndoto ya Yusufu.
Yusufu akaota ndoto akaona kuinuliwa nyota kumi na moja jua na mwezi zinamuinamia,Mungu aliaanda mipango yake kwa Israel siku za usoni japo ata ndugu zake awakujua Mipango… Read more “Unajifunza nini na ndoto ya Yusufu.”
Mungu hajatusahau!
JICHO LA IMANI 👀 2020 -♨️♨️- “Yesu Kristo ni yeye yule, jana na leo na hata milele.“ (Waebrania 13:8) Kuna wakati tunapitia Mambo ambayo tunadhani Mungu ametuacha,… Read more “Mungu hajatusahau!”
Ni bora kutoa adhabu,INA faida yake.
WAEBRANIA 12:7-11. 7 Ni kwa ajili ya kurudiwa mwastahimili; Mungu awatendea kama wana; maana ni mwana yupi asiyerudiwa na babaye?8 Basi kama mkiwa hamna kurudiwa, ambako ni… Read more “Ni bora kutoa adhabu,INA faida yake.”
Ndoto ni nini?
Bwana YESU KRISTO atukuzwe ndugu zangu wote.Karibu tujifunze somo fupi la maombi ili litupe maarifa ya maombi ya leo. Kuna aina mbili za neno “ndoto”Maana ya kwanza… Read more “Ndoto ni nini?”
Musa alikaidi kuitwa maana wa binti farao.
🖊 JICHO LA IMANI 👀 2020🖊 “Kwa imani Musa alipokuwa Mtu mzima, AKAKATAA kuitwa MWANA wa binti Farao;akaona ni afadhali kupata MATESO pamoja na watu wa Mungu… Read more “Musa alikaidi kuitwa maana wa binti farao.”
Usiumize akili yako una umuhimu mkubwa
kuna muda unakua na maswali mengi hupati majibu unakuta yanaumiza akili yako.hadi kichwa kinauma upo unaeishi nae ila kama unaishi maisha matakatifu yupo ROHO wa MUNGU huyo… Read more “Usiumize akili yako una umuhimu mkubwa”
Hebu mwaka huu ukapate neema ya Kujenga.
Katika mwaka mpya huu uliouingia Bwana YESU KRISTO akupe neema hii. Yeremia 29:5-6 ” Jengeni nyumba, mkakae ndani yake, kapandeni bustani, mkale matunda yake; oeni wake, mkazae… Read more “Hebu mwaka huu ukapate neema ya Kujenga.”
Kuharibu agano la uridhi la kipepo.
Bwana YESU atukuzwe ndugu yangu. Karibu tujifunze Neno la MUNGU aliye hai. Ujumbe wetu wa leo unasema kwamba ”haribu agano la urithi la kipepo.” Maana mojawapo ya… Read more “Kuharibu agano la uridhi la kipepo.”