Maisha ya Jana yaweza kuwa kioo cha kujiangalizia leo, ili kesho yako iwe bora zaidi. Ni waoga pekee ndio hawataki kuonyesha maisha yao ya jana lakini wanasahau… Read more “Maisha ya jana ni kioo….”
Month: December 2019
UJUMBE KWA ANAYEUMIA MOYO
Mungu akinyamaza kimya kwenye jambo lako, unalotaka au unalotamani aongee BASI NA WEWE NYAMAZA KIMYA, NA KAMA ITABIDI KUONGEA HAKIKISHA MANENO YAKO NI YA KUMSHUKURU KWA KUNYAMAZA… Read more “UJUMBE KWA ANAYEUMIA MOYO”
IMANI NA UTII VINALETA MATOKEO YATARAJIWAYO.
Miaka yangu ya kumjua Mungu nimejifunza jambo hili muhimu sana, nimejifunza kwa kusoma maandiko, na kwa kuona kwa macho kile kinachotokea pale imani na utii vinapotumika MAJIBU… Read more “IMANI NA UTII VINALETA MATOKEO YATARAJIWAYO.”
Wewe si dhaifu……
Ulikuja Duniani peke yako na utaondoka peke yako, Mungu anayo sababu ya wewe kuwa peke yako kwenye maamuzi uliyofanya. Waoga na wasiojiamini ndio wanaohitaji kusimama na watu… Read more “Wewe si dhaifu……”
WAO WALIOPOKUWA WANATAZAMIA KUMMALIZA YEYE ALIKUWA ANATAZAMIA KUMALIZA KAZI.
Wakati waliomuua Yesu wakishangilia sana anapokaribia kukata roho wakisema sasa AMEKWISHA, wakijipongeza na kupeana zawadi kwa kugawana mavazi yake, wakimdhihaki kwa kila aina ya tusi na kejeli.… Read more “WAO WALIOPOKUWA WANATAZAMIA KUMMALIZA YEYE ALIKUWA ANATAZAMIA KUMALIZA KAZI.”
USIDHARAU NJIA/USHAURI/MTAJI/ MDOGO MAANA KWENYE HUO UDOGO KUNA JAMBO KUBWA MUNGU HUTAKA KUJITUKUZA
Mungu anapotaka kufanya jambo kubwa huwa hatumii vitu/watu/njia kubwa kupata matokeo makubwa. Yeye hutumia vitu/watu/njia ndogo kupata matokeo makubwa. Daudi alikusanya mawe matano kumfuata Goliath aliyemtukana Bwana,… Read more “USIDHARAU NJIA/USHAURI/MTAJI/ MDOGO MAANA KWENYE HUO UDOGO KUNA JAMBO KUBWA MUNGU HUTAKA KUJITUKUZA”
Katika sura mbili za upendo waweza chagua moja.
1.Tunawapenda watu wazuri, wenye hekima, wenye mvuto, maarufu, watu maalum, watu wema, sababu ya kuwapenda ni kwamba TUNAWAHITAJI WAJE WAONGEZE THAMANI KWENYE MAISHA YETU. 2. Tunawapenda watu… Read more “Katika sura mbili za upendo waweza chagua moja.”
VITU HALALI AU MATENDO HALALI YANAVYOTUKOSESHA FURSA KWA MUNGU.
Paulo anasema vitu vyote ni HALALI ila si vyote VIFAAVYO na vyote ni halali ila si vyote vijengavyo 1 kor 10: 23 Msitari huu nimeuelewa vizuri baada… Read more “VITU HALALI AU MATENDO HALALI YANAVYOTUKOSESHA FURSA KWA MUNGU.”
NENO HILI LIKUINUE MOYO WAKO.
Wafilipi 4:11-13 Si kwamba nasema haya kwa kuwa nina mahitaji; maana nimejifunza kuwa radhi na hali yo yote niliyo nayo.Najua kudhiliwa, tena najua kufanikiwa; katika hali yo… Read more “NENO HILI LIKUINUE MOYO WAKO.”
WAZO LA MNARA WA BABELI BADO LINAISHI
Nimewiwa siku nyingi kusema hili jambo, lakini kwa sababu zangu binafsi nimejizuia mpaka leo ambapo nimepata msukumo wa nguvu kumsaidia angalau mtu mmoja kujifunza na kuelewa jinsi… Read more “WAZO LA MNARA WA BABELI BADO LINAISHI”