Chochote chenye faida isiyo yako kiamue kwa makini.

Ukiambiwa na mtu usiseme, sio kwa faida yako ni kwa faida ya anayekukataza.
Usiri unaouficha yawezekana ndio unaokuharibia maisha yako.

Hata maandiko yanasema afichaye dhambi zake hatafanikiwa Mithali 28:13
Pima kabla hujakubali kila kitu.


Discover more from cantonadigital

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Leave a comment