Katika maisha nimejifunza unahitaji sana watu ili ufanikiwe, na watu hao wanaweza kuwa wazazi, viongozi, boss, wachungaji au watumishi wa Mungu, marafiki, majirani nk. Lakini wengi wetu… Read more “KANUNI YA HESHIMA”
Month: August 2019
Walio katika mahusiano ya karibu wanajijengea hisia na nguvu fulani.
Walio katika mahusiano ya karibu wanajijengea hisia na nguvu fulani. kwa sababu ya ukweli kwamba watu wanaokuwa katika mahusiano ya karibu wanajijengea hisia na nguvu fulani ambayo… Read more “Walio katika mahusiano ya karibu wanajijengea hisia na nguvu fulani.”
SIRI YA UBORA IPO.
Dunia ina taaluma nyingi sana, ujuzi mwingi, vipaji vingi, wale wanaoheshimu hivyo huvitumia na kufanikiwa. Yawezekana unawaza na unatamani uwe bora kuliko wengine unaofanya nao kazi ya… Read more “SIRI YA UBORA IPO.”
NENO LA KUINUA IMANI YAKO.
Watu wengi wanaingia kwenye shida nyingi bila kujua chanzo. Wakati Yakobo amemkimbia Esau alifika nchi ya Luzu na usiku huo akalala hapo akaota ndoto malaika wanapanda na… Read more “NENO LA KUINUA IMANI YAKO.”